Life Beyond Work
Reflections, stories, photography, books, and experiences beyond professional pursuits.

Featured Reflection
Je, Kuweka Akiba ni Kukosa Imani?
Watu wengi wanapofikiria kuhusu akiba, huiona kama jambo la kifedha tu. Wengine huihusisha na hofu ya kesho, na wengine huiahirisha wakiamini wataanza “wakipata zaidi.” Katika ulimwengu wa leo wenye changamoto za kiuchumi, wengi wanajiuliza: Je, kuweka akiba ni kukosa imani au ni busara? Hadithi ya Yusufu (Joseph) katika kitabu cha Mwanzo inatoa mwanga wa kipekee kuhusu suala hili. Tunachojifunza kutoka kwa nabii huyu wa Mungu si tu historia bali ni kanuni za milele zinazoweza kubadilisha mtazamo wetu kuhusu akiba na utajiri.

Featured Story
A Story of Lasting Change: Pazza's Journey Across Tanzania
"I am not the same person as when I joined the program."
Latest Reflections
View all →
Je, Kuweka Akiba ni Kukosa Imani?
Watu wengi wanapofikiria kuhusu akiba, huiona kama jambo la kifedha tu. Wengine huihusisha na hofu ya kesho, na wengine huiahirisha wakiamini wataanza “wakipata zaidi.” Katika ulimwengu wa leo wenye changamoto za kiuchumi, wengi wanajiuliza: Je, kuweka akiba ni kukosa imani au ni busara? Hadithi ya Yusufu (Joseph) katika kitabu cha Mwanzo inatoa mwanga wa kipekee kuhusu suala hili. Tunachojifunza kutoka kwa nabii huyu wa Mungu si tu historia bali ni kanuni za milele zinazoweza kubadilisha mtazamo wetu kuhusu akiba na utajiri.

Uwekezaji wa Kweli: Kuwekeza kwa Mungu na Hekima ya Uwekezaji wa Kawaida
Unaweza kujenga utajiri, kupata elimu, na kufikia mafanikio makubwa, lakini je, nafsi yako imewekeza wapi?
Latest Stories
View all →
A Story of Lasting Change: Pazza's Journey Across Tanzania
"I am not the same person as when I joined the program."

Accountability Begins With Us
In rural Tanzania, young people are stepping forward to hold development projects accountable. With over 350 trained citizen monitors using real-time reporting tools, communities are ensuring that projects are not only delivered but truly serve the people they are meant to benefit.